miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,976
uasherati ni dhambi ila kama ana ashki na wewe upo tayari kumtuliza fanya ila ukijua ni dhambi..je kafikisha miaka 18?
unaonekana uroho umekujaaLabda nijueleze kuwa atakuona wewe si rijali na utashitukia keshagongwa na atagongwa hata vichakani maana keshaonyesha ana nyege. Ukienda ukakuta bikra ipo nidai hela. Ushachelewa wenzako wanalamba
Wewe hujawahi koseaUnaandika wakati upo na usingizi au
Mjomba unayafahamu mashabo? au makinikia?Ni binti alishahitimu masomo yake. Sheria sizijui amenipenda na aliahidi kunipa chochote..sijataka kumjibu vile ndio amemaliza kidato cha sita na sasa anaingia chuo.
Kwa kuwa alizoea kuniomba msada nikampa Mara kwa Mara simnyumi...na sijathubutu anything in return. lakin anataka tena kwa kunijengea mazingira hayo. Nijuavyo bado ni mwanafunz Na ninajua Kama anakusudi hilo iwe baada ya kumaliza masomo take chuo kikuu.
Ana uwezoki chwani...amesoma sayansi...rohoni sina chembe ya kusudio kumla mwanasayansi huyu wa kizaz kijacho....nilipanga Kama atamaliza salama na Kama ni rizki yangu nimtupiw store tena baada ya kuhitum chuo Kikuu.
Nijuavyo waharibifu wapo watamharibu iwapo ataona nampotezea Kama anapata ashki. nyote mnajua vyuo vikuu hawatamla? Kwa hapo alipofika, naruhusiwa! kabla mashabalolo wa chuo wahawamtia mikonon?
mkuu hulali?Mkuu ungeweka number yake ya simu hapa ili watu wakitoa ushauri uwafikie wote wawili.