hiv hawa jamaa wanampango gan? maana npo na vijana twafanya applcation wamekubali hatua ya kwanza , baada ya hapo wanatakiwa watume password aidha katika namba ya simu au e-mail yako, cha kushangaza hamna kitu walichotuma
Of coz walishafanya muda sana......kinachoendelea ni mashauriano baina ya TCU na vyuo husika kutokana na agizo jipya la serikali ya elimu kwa upande wa cut off pts za degree
hiv hawa jamaa wanampango gan? maana npo na vijana twafanya applcation wamekubali hatua ya kwanza , baada ya hapo wanatakiwa watume password aidha katika namba ya simu au e-mail yako, cha kushangaza hamna kitu walichotuma