Je, mwanaume handsome anasifa zipi?

Kama kucha zenyewe ndio hizo tena umezipaka na rangi nina wasiwasi na we we aisee
 
Hivi inawezekanaje mwanaume ajisifu kuwa ww ni handsome?
 
yaan mividole hiyo ndo vizuri?
wacha ushoga boya ww
 
Hata Dr Louis Kid alipepewa siku ile ya mnada na vitoto vya sijui Yono au TRA wale
 
kwani we upo nchi gani? Huku kwetu pesa,gari na suti inatosha unaweza hata ukabakwa na wadada.
Hapa patamu sana.
Huwa najiulizaga hivi wanaume tu ndio wanabaka? maana sijawahi kusikia kesi ya mwanamke kumbaka mwanaume
 
Muukize dr.shika akwambie uhandsome kautoa wapi cku hizi....
 
Ukiwa single huna pesa huna pamba single wenzako utawasikia tu

Wewe utapendwa na wale wasioyaka pesa sana nia yao ni sherehe tu

Na hao si wengine Bali ni

Wake za watu
Single mum
Wanasake wanaokuzidi umri sana
Wengine utamalizia
 
Mbona km umeweka vidole vya dada yako
 
Ukiwa single huna pesa huna pamba single wenzako utawasikia tu

Wewe utapendwa na wale wasioyaka pesa sana nia yao ni sherehe tu

Na hao si wengine Bali ni

Wake za watu
Single mum
Wanasake wanaokuzidi umri sana
Wengine utamalizia
Ni wa5u na wadhfa wao jamaa angu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…