GodfreyTajiri
JF-Expert Member
- Sep 26, 2010
- 986
- 655
Habari zenu wana JF,
Mwaka huu nipo katika harakati za kutafuta mchumba katika mazingira ninayoishi na kwingineko, nimeona sio vibaya pia nikiweka wazi nia yangu hapa ili mwanamke yoyote anayedhani namfaa au ananifaa tuweze kuwasiliana, pengine hapa ndio mahali ambapo Mungu amepanga hasa tukutane.
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 30 (kijana wa makamo), ninafanya kazi katika kampuni binafsi, mrefu kiasi, mweusi mwenye umbo la wastani. Ninaishi Arusha na Dar -es –Salaam.
Natafuta mchumba mwanamke mwenye umri kuanzia miaka 18 – 30. Elimu kuanzia ya sekondari na kuendelea, awe anafanya kazi au awe tayari kufanya kazi ya kujiajiri au kuajiriwa. Awe mkristu au kwa ambaye sio mkristu awe tayari kubadili dini. Awe mcha Mungu, anayejiheshimu, asiye na majivuno wala mwenye makuu, mwenye tabia nzuri na mpenda maendeleo kwa ujumla.
Kwa mwenye nia ya dhati tu, aniPM au kuniandikia e-mail kupitia onyango.alex@gmail.com
Maoni yanakaribishwa pia.
Rose, maty,michele, afrodenzi,husninyo nk nadhani bado mko single hamwezi jua kwanini mmejiungaJF huenda Mungu kapanga mtapata wachumba humu humu hivo jaribuni kupanga kukutana na huyu bwana.nawapa mbinu za kukutana. .unaweza kuwasiliana na huyu bwana mkutane pahala fulani grocery,bar au popopte pa wazi,jitambulishe umevaa vazi fulani na umekaa karibia na counter au meza ya mafichoni lakini usiwe umevaa vazi ulomwambia na wala usikae sehemu ulipomwagiza we kaa meza ambayo utamwona kila anaengia hapo bar ,weka simu yako vibration na iweke juu ya meza, na jifanye unasoma gazeti, wkt huyu bwana anakuja lazima atakupigia ajue kama ww ndo anakutafuta we angalia anaengia akizungusha zungusha shingo huku kashika simu atakuwa ndo yeye,kama ukimwona anafanana na Idd amin au pablo escobar basi sepa kimya kimya, kama ukimwona ana mweleko wa kueleweka basi mpungie mkono kiaina akufuate ulipo.hakuna kuogopa dada zangu.
mmmhhh jamani weye mie bado sitafuti mtu...
labda wanaume wenzangu ......
hilo chozi nani kakukwaza nimfinye?
mmmhhh dear hilo chozi liache tu..
laelezea mengi sana..
mmmhhh na mie ningefurahi
kama we ungenionyeshe pic yako....
hata kama ni ya chozi ka yangu ......hahah lol
mmmhhh jamani mie ndevu napenda sana...mmmh hizi ndevu zitakutisha.... nikinyoa ntabandika picha
Rose, maty,michele, afrodenzi,husninyo nk nadhani bado mko single hamwezi jua kwanini mmejiungaJF huenda Mungu kapanga mtapata wachumba humu humu hivo jaribuni kupanga kukutana na huyu bwana.nawapa mbinu za kukutana. .unaweza kuwasiliana na huyu bwana mkutane pahala fulani grocery,bar au popopte pa wazi,jitambulishe umevaa vazi fulani na umekaa karibia na counter au meza ya mafichoni lakini usiwe umevaa vazi ulomwambia na wala usikae sehemu ulipomwagiza we kaa meza ambayo utamwona kila anaengia hapo bar ,weka simu yako vibration na iweke juu ya meza, na jifanye unasoma gazeti, wkt huyu bwana anakuja lazima atakupigia ajue kama ww ndo anakutafuta we angalia anaengia akizungusha zungusha shingo huku kashika simu atakuwa ndo yeye,kama ukimwona anafanana na Idd amin au pablo escobar basi sepa kimya kimya, kama ukimwona ana mweleko wa kueleweka basi mpungie mkono kiaina akufuate ulipo.hakuna kuogopa dada zangu.
mmmhhh jamani mie ndevu napenda sana...
mkato wowote tu unafaaa..
ka ziko ka Crag David hiyo romantic.
kama za Osama hiyo ni mmmhhh hata jina bado sijapata kwa sasa..
u...PHP:mie sitaki nywele kifuani t
hapo kwa craig david napaweza ila ulivyomalizia sasa ndio pagumu
ingewezekana ningepiga bomu hichi kifua...looool
mmmhhh jamani mie ndevu napenda sana...
mkato wowote tu unafaaa..
ka ziko ka Crag David hiyo romantic.
kama za Osama hiyo ni mmmhhh hata jina bado sijapata kwa sasa..
mie sitaki nywele kifuani tu...
mmmhhh kwa nini jamani
sasa upiige bomu kifua halafu mie ntaonga na nani JF..
na Crag David wangu ndo katimua kimoja hivyo..
mmmhhhhh mambo ya bomu tuyaache...
tunzetu baharini tukalitumbukize lilipukie huko huko dear
hahahahah lol
we hupendi gadeni lavu? watakucheka watu.
Dah nimekosa nafasi naona Rose kaniwahi:Cry::Cry::Cry::Cry::Cry:
jaluo nyeupe vipi mwanawane? bado zali halijaclick? kama namna gani vipi wabadilishie avatar, si unajua wamejifanya kukatia rufaa avatar bana.
hawa mamanzi wa kibongo hawaeleweki kama rais wao, hata ukiwawekea vazi takatifu watakomplain tu. wewe komaa nao na hilo hilo suti mazee.Kweli eeh! itabidi niuzingatie huu ushauri, lakini rose amechukia suti niliyovaa naamini wapo wengine wanapenda mvaa suti au we unaonaje?
dear kwa hiyo utakivumilia kifua changu na manyoya yake?
naogopa nsijetafutiwa asiye na manyoya:mwaaah:
mmmhhhh mie nita kuwax mwenyewe ...
lakini ntaenda mdogo mdogo tu hautaumia sana...
AD umipendedha na hii avatar yako mpya. Unazidi kuonekana mrembo.
Rose, maty,michele, afrodenzi,husninyo nk nadhani bado mko single hamwezi jua kwanini mmejiungaJF huenda Mungu kapanga mtapata wachumba humu humu hivo jaribuni kupanga kukutana na huyu bwana.nawapa mbinu za kukutana. .unaweza kuwasiliana na huyu bwana mkutane pahala fulani grocery,bar au popopte pa wazi,jitambulishe umevaa vazi fulani na umekaa karibia na counter au meza ya mafichoni lakini usiwe umevaa vazi ulomwambia na wala usikae sehemu ulipomwagiza we kaa meza ambayo utamwona kila anaengia hapo bar ,weka simu yako vibration na iweke juu ya meza, na jifanye unasoma gazeti, wkt huyu bwana anakuja lazima atakupigia ajue kama ww ndo anakutafuta we angalia anaengia akizungusha zungusha shingo huku kashika simu atakuwa ndo yeye,kama ukimwona anafanana na Idd amin au pablo escobar basi sepa kimya kimya, kama ukimwona ana mweleko wa kueleweka basi mpungie mkono kiaina akufuate ulipo.hakuna kuogopa dada zangu.