coffea Member Jan 23, 2017 14 5 May 17, 2017 #1 Je, mtu anaweza kumroga mpenzi wake pale wanapo achana? Rafiki yangu ameamua kuachana na mpenzi wake lakini amemtishia kumroga. Je, hili linawezekana? Msaada wenu wakuu.
Je, mtu anaweza kumroga mpenzi wake pale wanapo achana? Rafiki yangu ameamua kuachana na mpenzi wake lakini amemtishia kumroga. Je, hili linawezekana? Msaada wenu wakuu.
Jurrasic Park JF-Expert Member Sep 13, 2013 3,800 6,806 May 17, 2017 #3 Mi naweza, mganga lazima anihakikishia, ananipa papuchi ya huyo niiweke kwenye wallet.
daisys JF-Expert Member Jan 17, 2017 261 225 May 17, 2017 #4 Huo ni mkwara tu MTU mzma hatishiwi nyau
the viking JF-Expert Member Apr 23, 2017 1,170 1,372 May 17, 2017 #6 hivi haya mambo ya kurogana kweli yapo ama ni Story tu huwa naskia?..
Paprika JF-Expert Member Feb 25, 2017 5,951 9,877 May 17, 2017 #7 Sasa amroge ili iweje? Si akubali tu kushindwa na maisha yaendelee!!!
Shadeeya JF-Expert Member Mar 12, 2014 49,716 118,702 May 17, 2017 #8 Hiyo ndio shida ya kutoridhika na matokeo. Anaongea tu huyo ila akisema anayaamini hayo maneno hata akiamka anaumwa na mgongo tayari atasema amelogwa. Hakuna kitu kama hicho.
Hiyo ndio shida ya kutoridhika na matokeo. Anaongea tu huyo ila akisema anayaamini hayo maneno hata akiamka anaumwa na mgongo tayari atasema amelogwa. Hakuna kitu kama hicho.
Analyse JF-Expert Member Jan 19, 2014 17,636 47,405 May 17, 2017 #9 Kwani hujawahi kuona vibango vya waganga vikisema "Kumvuta aliyembali,freemason n.k?" Kama unarogeka unarogwa tu.
Kwani hujawahi kuona vibango vya waganga vikisema "Kumvuta aliyembali,freemason n.k?" Kama unarogeka unarogwa tu.