Msomi ni mtu aliyesoma na kuelimika kwenye vyuo vya elimu ya juu na kuzishika nguzo kuu tatu za elimu nazo ni ufahamu wa jambo alilosomea, ujuzi/uhodari pamoja na tabia. Pia awepo na uwezo wa kufikiri na kujenga hoja/kufikia lengo bila kushurutishwa na asimamie misingi ya ukweli/takwimu.