HASSAN MOLLEL
Member
- Mar 25, 2014
- 9
- 3
Msomi ni mtu aliyeelimika na kufanya mambo yake tofauti na asiesoma. Kuna kusoma na kuelimika. Ni tofauti. Kama msomi akisikia maneno hayo na kuumia kwa kudharauliwa na asiesoma. Huyo hajaelimika na hafai kuitwa msomi. Nawasilisha