Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,774
- 3,460
Habari za majukumu wakubwa na wadogo..
Kuna kitu ambacho wanaume wengi wa ki Tanzania tunakifanya lakini hatukijui kwa sababu ya kutoelewa science vizuri.
Ngoja nitoe mfano ambao darasa hili nililipata kwa mzungu mmoja ambapo nilibaki na mshangao kwa kiasi fulani.
"Wakati mnapofanya mapenzi mnamwaga shawaha nje kama mara tatu ili kuepuka mimba.. Lakini mimba inapatikana tu, vipi inapatikana? Unapomaliza kufanya mapenzi mwanamke anakufuta kwa kitambaa, kumbuka shahawa zina nguvu sana. Kuna zingine zinabakia baada ya kujifuta zinatoka baada ya kujifuta.... Ukitakana kuamini hilo nenda kapige punyeto halafu ukimaliza jifute, kaa kama sekunde kadhaa jiangalie je hakuna kitakachotoka?"
Najua na hapa wataalam wapo em naomba tushee kwa pamoja ni kweli haya?
Kuna kitu ambacho wanaume wengi wa ki Tanzania tunakifanya lakini hatukijui kwa sababu ya kutoelewa science vizuri.
Ngoja nitoe mfano ambao darasa hili nililipata kwa mzungu mmoja ambapo nilibaki na mshangao kwa kiasi fulani.
"Wakati mnapofanya mapenzi mnamwaga shawaha nje kama mara tatu ili kuepuka mimba.. Lakini mimba inapatikana tu, vipi inapatikana? Unapomaliza kufanya mapenzi mwanamke anakufuta kwa kitambaa, kumbuka shahawa zina nguvu sana. Kuna zingine zinabakia baada ya kujifuta zinatoka baada ya kujifuta.... Ukitakana kuamini hilo nenda kapige punyeto halafu ukimaliza jifute, kaa kama sekunde kadhaa jiangalie je hakuna kitakachotoka?"
Najua na hapa wataalam wapo em naomba tushee kwa pamoja ni kweli haya?