kiredio Jr
JF-Expert Member
- Jul 8, 2024
- 1,157
- 2,191
Mkuu this is serious, ndiyomaana nimeulizaJf😅😅😅😅😅😅
Nimekaa chini ya mti nikaona maji yanadondoka, kuangalia juu naona bonge la popo linakojoa.Kwaiyo popo amekukojolea mkuu??
Wahi kituo Cha afya kilichopo karibu yako
Popoma ndo Nini mkuuPopoma 😀
Kwa mujibu wa wahenga “popo mbili zavuka mto ni macho”Nimekaa chini ya mti nikaona maji yanadondoka, kuangalia juu naona bonge la popo linakojoa.
Mkuu kweli naweza kupata madhara kiafya?
Kuna madhara yoyote naweza kupata mkuu?Kwaiyo popo amekukojolea mkuu??
Wahi kituo Cha afya kilichopo karibu yako
Unaijua babonic plagueMuda huu nimekaa sehemu chini ya mti, ghafla naona maji yanadondoka kutoka juu ya mti, yamedondoka kwenye mwili wangu mikononi na kichwani, naangalia juu naona popo mkubwa kumbe alikuwa anakojoa.
Sasa najiuliza, je baada ya mkojo huu kunishukia mwilini je naweza kudhurika Kwa lolote?
Au black deathUnaijua babonic plague
popobawa anakuja kukupa mwongozo...Muda huu nimekaa sehemu chini ya mti, ghafla naona maji yanadondoka kutoka juu ya mti, yamedondoka kwenye mwili wangu mikononi na kichwani, naangalia juu naona popo mkubwa kumbe alikuwa anakojoa.
Sasa najiuliza, je baada ya mkojo huu kunishukia mwilini je naweza kudhurika Kwa lolote?
Aah, siwezi kuamini, Yani Mimi niwe punga kwasababu ya mkojo wa popo?Kuna mjomba wangu nae ilimtokea hvy hvy, baada ya wiki mbili akajiunga ccm, sasa hv tumemtenga mana amekuwa shoga kama hao wanachama
Nimeoga na sabuni Kali sana, sijahisi muwasho wowote ila bado Nina wasiwasi ndiyomaana nimeuliza hapaPole sana mkuu, hapo ulishapata upopoma tayari. Wahi hospitali kwa daktari bingwa wa popology.
Imeenda hiyoAah, siwezi kuamini, Yani Mimi niwe punga kwasababu ya mkojo wa popo?