Wanapelela saccos wanakopesha kwa masharti ambayo graduate hayawezi mfano unaambiwa uoneshe shamba la miti au nyumba pia still riba zipo juu ndo maana haijasaidia kitu zaidi wanafaidi matajir.kwani hujui kwamba vijana wanakopeshwa na serikali kupitia taasisi mbali mbali? tena bila riba?
First class? Hivi kwa bongo hii unaweza kutambia first class yako ya chuo cha humu tz? Ungepata first class ya Toronto kama jirani yangu si ungetamba sana hapa TZ ? Hebu tutolee na first class yako apa. Sisis tunachokitaka ni output na sio kujitanabaisha na mivyeti mingi yenye less applicationUnadai una Bachelor, First Class, Mzumbe, tena "Main Campus"?
Sitaki kuungana na huyo mwingine aliyehoji hizi elimu mnazopata zinawapeleka wapi..
11.Siyo kweli badala yake watu wamekuwa wanafiki hakuna umoja wa kitaifa mfano kwenye kikokotooYafuatayo ni baadhi ya mambo mazuri mno ambayo kayafanya raisi wetu mpendwa na kila mpenda maendeleo ambayo ni
1. Kutengeza uhusiano mzuri wa kidiplosia na wanywaranda
2. Kukuza uchumi kwa 7 percent
3. Viwanda na biashara mpya kufunguliwa huku chache zikifungwa kwani walizoea madili...
Sio mimi mkuu 'Mzee Wa Republican' ninayetamba na hiyo 'First Class'.First class ? Hivi kwa bongo hii unaweza kutambia first class yako ya chuo cha humu tz? Ungepata first class ya Toronto kama jirani yangu si ungetamba sana hapa TZ ? Hebu tutolee na first class yako apa. Sisis tunachokitaka ni output na sio kujitanabaisha na mivyeti mingi yenye less application