ndege joni
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 674
- 1,087
Hapana, shida kubwa ni birth control. Kutumia njia nyingine kuzuia mimba kwa mtu ambaye hawahi kuzaa mara nyingi zinawasababishia ugumba, kuna mtu aliniambia amepata ushauri atumie KY. Ndio nataka nijue ni kweli?Na wewe huwa unapaka au..?
Ky mkiitumia kwa marengo yaliyokusudiwa kwa mbele lazima mwanamke apate mimba lakini mkiitumia kula utumbo hawezi kupata mimbaHapana, shida kubwa ni birth control. Kutumia njia nyingine kuzuia mimba kwa mtu ambaye hawahi kuzaa mara nyingi zinawasababishia ugumba, kuna mtu aliniambia amepata ushauri atumie KY. Ndio nataka nijue ni kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ky mkiitumia kwa marengo yaliyokusudiwa kwa mbele lazima mwanamke apate mimba lakini mkiitumia kula utumbo hawezi kupata mimba
Hizi hapa ndiyo kazi kubwa za kykwa mbele tu. Nimeuliza kama kuna wataalam wa afya waseme labda ina kemikali zinazoweza kuua mbegu za kiume
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana kwa ufafanuzi mkuuHizi hapa ndiyo kazi kubwa za ky
1. Kulainisha njia za mkojo za uume au uke kwa ajili ya kuingiza vifaa vya uchunguzi
2. Kulainisha uke kwa ajili ya kuingiza vyombo cha uchunguzi
3. Kulainisha sehemu ya nyuma ya mwanaume/mwanamke kwa ajili ya kuingiza vifaa vya uchunguzi
4. Kuna wanawake wanakuwa wakavu mbele kwa hiyo ky hutumika ili kutojichubua
Matumizi yasiyo rasmi
1. Kufirana kati ya mwanaume na mwanamke au mwanaume kwa mwanaume
Nb: nchi za ulaya haya pia ni matumizi rasmi, kwa waafrika wanalazimika kutumia mafuta ya kupaka au mate ili kufirana hii inaweza kupelekea kutokea kwa matatizo mengine
Huyo achana naye nadhani huyo ni daktari wa mifugo poriNakumbuka niliwahi msikia H.Kigwangalla anasema KY ni maalumu kwa vidonda/majeraha. Ndo maana hawawezi kuizuia isiuzwe ovyo!. Sasa sehemu za siri nazo ni kidonda!?
Inazuia mimbaKY gel ni kilainishi. Itazuia vipi mimba sasa? Haiwezekani kwa akili yangu ndogo. Otherwise ngoja wataalamu waje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo katika matumizi yasiyo rasmi ongezea na masturbation.Hizi hapa ndiyo kazi kubwa za ky
1. Kulainisha njia za mkojo za uume au uke kwa ajili ya kuingiza vifaa vya uchunguzi
2. Kulainisha uke kwa ajili ya kuingiza vyombo cha uchunguzi
3. Kulainisha sehemu ya nyuma ya mwanaume/mwanamke kwa ajili ya kuingiza vifaa vya uchunguzi
4. Kuna wanawake wanakuwa wakavu mbele kwa hiyo ky hutumika ili kutojichubua
Matumizi yasiyo rasmi
1. Kufirana kati ya mwanaume na mwanamke au mwanaume kwa mwanaume
Nb: nchi za ulaya haya pia ni matumizi rasmi, kwa waafrika wanalazimika kutumia mafuta ya kupaka au mate ili kufirana hii inaweza kupelekea kutokea kwa matatizo mengine
Njia ya kupanga uzazi mbadala ambapo ukitumia ky inalainisha
sikuhitaji jua fani yake nataka jua ukweli wa anachosema!..Huyo achana naye nadhani huyo ni daktari wa mifugo pori
sikuhitaji jua fani yake nataka jua ukweli wa anachosema!..
Mate yanatatizo gan mkuu? Nimeona umeyataja hapoHizi hapa ndiyo kazi kubwa za ky
1. Kulainisha njia za mkojo za uume au uke kwa ajili ya kuingiza vifaa vya uchunguzi
2. Kulainisha uke kwa ajili ya kuingiza vyombo cha uchunguzi
3. Kulainisha sehemu ya nyuma ya mwanaume/mwanamke kwa ajili ya kuingiza vifaa vya uchunguzi
4. Kuna wanawake wanakuwa wakavu mbele kwa hiyo ky hutumika ili kutojichubua
Matumizi yasiyo rasmi
1. Kufirana kati ya mwanaume na mwanamke au mwanaume kwa mwanaume
Nb: nchi za ulaya haya pia ni matumizi rasmi, kwa waafrika wanalazimika kutumia mafuta ya kupaka au mate ili kufirana hii inaweza kupelekea kutokea kwa matatizo mengine