Assallamu Aleikum!
Nimekuwa na bwanangu miaka 13 bila shida na watoto wawili.
Mara si mara, tulihamia mombasa na bwanangu kapata msichana wa kikamba.
Nikapata mimba na huyo msichana kasema nitaona kama utazaa.
Nilizaa mtoto akafariki. Kisha bwana kanifukuza na watoto, na isitoshe nikaambiwa nina maradhi ya moyo, figo mbovu, ini mbovu, sukari na pumu. Hivi napewa madawa mengi sana siptali ujerumani na wala sioni nafuu.
Mimi ni mtu ambaye pia nimeshika dini sana na siamini kuna uchawi, lakini watu wengi wasema kuwa miye nilitupiwa jini na huyo msichana.
Jamani naomba muniambiye kama haya mambo yako kweli na wapi tanzania nitapata mwalimu maarufu mzuri kwa kiislamu ?
Shukran.
Nimekuwa na bwanangu miaka 13 bila shida na watoto wawili.
Mara si mara, tulihamia mombasa na bwanangu kapata msichana wa kikamba.
Nikapata mimba na huyo msichana kasema nitaona kama utazaa.
Nilizaa mtoto akafariki. Kisha bwana kanifukuza na watoto, na isitoshe nikaambiwa nina maradhi ya moyo, figo mbovu, ini mbovu, sukari na pumu. Hivi napewa madawa mengi sana siptali ujerumani na wala sioni nafuu.
Mimi ni mtu ambaye pia nimeshika dini sana na siamini kuna uchawi, lakini watu wengi wasema kuwa miye nilitupiwa jini na huyo msichana.
Jamani naomba muniambiye kama haya mambo yako kweli na wapi tanzania nitapata mwalimu maarufu mzuri kwa kiislamu ?
Shukran.