#CRDBFACup Leo kuna watu wanatamani hadi refa afanyiwe SUB
Jana mechi ikiendelea Mashabiki wa Simba walirise Kwa kurusha chupa uwanjani huku wakiimba refa atolewe sub
Je nikweli bila nguvu za refa Simba huwa hawatoboi
View attachment 3352540
Sent from my TECNO KG5j using
JamiiForums mobile app