Je, kwanini Mashabiki wa Simba walitaka refa atolewe sub

Gemu ya maelekezo ile.. ingawa walitakiwa kufungwa 1:0, madogo wameshindilia kutokana na nafasi wwlizopata
 
Katika misimu hii mitatu hakuna team iliyonufaika na marefa kama yanga tangia kipindi cha nabi ndio makocha wanakimbia maana engineer hersi anawaambia sisi hatushindi kwasababu yako.
 
Katika misimu hii mitatu hakuna team iliyonufaika na marefa kama yanga tangia kipindi cha nabi ndio makocha wanakimbia maana engineer hersi anawaambia sisi hatushindi kwasababu yako.
Leta hiyo clip ya Hersi akiwapa maelekezo hayo Makocha tofauti na hivyo utakuwa ni mdomo wa yule ZUBEDA NDALA NDEFU
 
Simba jana alijilegeza ili asiende fainali. Kuna uwezekano pia walipanga matokeo, hivyo uchunguzi ufanyike mara moja. Haiwezekani SBS wawafunge goli 3 - 1, na wakati siku chache tu zilizopita waliwafunga goli 1-0!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…