Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,774
- 24,209
HAPO KWANZA NCHEKE
Inawezekana simba ndio waliomuomba msamaha Chama (hii ni sawa una manzi mkali sana anakutawala, hata akifanya kosa wewe ndiye uta apologize ).
Benchika alisema hawezi kubali Chama kurudi kwa vile amemvimbia na hakuna mchezaji mkubwa kuliko timu na Simba walipiga biti kali, ambapo ilionekana Chama na Kapama lazima wang'oke lakini jana kinyonge sana wametangaza wamemsamehe Chama!
Je, nikweli Chama ni mfupa mgumu kwa Simba?
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Inawezekana simba ndio waliomuomba msamaha Chama (hii ni sawa una manzi mkali sana anakutawala, hata akifanya kosa wewe ndiye uta apologize ).
Benchika alisema hawezi kubali Chama kurudi kwa vile amemvimbia na hakuna mchezaji mkubwa kuliko timu na Simba walipiga biti kali, ambapo ilionekana Chama na Kapama lazima wang'oke lakini jana kinyonge sana wametangaza wamemsamehe Chama!
Je, nikweli Chama ni mfupa mgumu kwa Simba?
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app