TIASSA JF-Expert Member Jun 17, 2014 2,893 3,423 Dec 1, 2020 #1 Hivi hapa Bongo kuna watu wanao lima haya mafraisha kama kilimo biashara?
MAMESHO JF-Expert Member Jul 5, 2011 1,366 1,623 Dec 5, 2020 #2 Wapo japo sina hakika kama ni mbegu hiyo
TIASSA JF-Expert Member Jun 17, 2014 2,893 3,423 Dec 5, 2020 Thread starter #3 MAMESHO said: Wapo japo sina hakika kama ni mbegu hiyo Click to expand... Ok
Smart911 Platinum Member Jan 3, 2014 120,513 144,044 Dec 5, 2020 #4 Ngoja waje kutoa muongozo... Cc: mahondaw
Bwana Mpanzi Senior Member Jun 28, 2019 188 172 Dec 6, 2020 #5 Hapana hakuna ila micactus ipo inajiotea maeneo kame hivyo bado watu hawajajikitw katika kilimo chake
Hapana hakuna ila micactus ipo inajiotea maeneo kame hivyo bado watu hawajajikitw katika kilimo chake
R rodrick alexander JF-Expert Member Feb 12, 2012 15,367 20,518 Dec 7, 2020 #6 Haya huwa yanajiotea miti yake tulikuwa tunaita miba bamba.
Chupayamaji JF-Expert Member Sep 19, 2017 5,785 13,571 Dec 7, 2020 #7 Likipatikana soko lake watu watalima tu.
Bwana Mpanzi Senior Member Jun 28, 2019 188 172 Dec 19, 2020 #8 Soko lake lipo mbioni hasa kwa wale wanaofanya kilimo hai ndio mteremko wao maana hii ni moja ya mahitaji ya msingi katika kutengeneza mbolea na viuatirifu rafiki vya kilimo hai Chupayamaji said: Likipatikana soko lake watu watalima tu. Click to expand...
Soko lake lipo mbioni hasa kwa wale wanaofanya kilimo hai ndio mteremko wao maana hii ni moja ya mahitaji ya msingi katika kutengeneza mbolea na viuatirifu rafiki vya kilimo hai Chupayamaji said: Likipatikana soko lake watu watalima tu. Click to expand...