TIASSA JF-Expert Member Joined Jun 17, 2014 Posts 3,111 Reaction score 4,000 Dec 1, 2020 #1 Hivi hapa Bongo kuna watu wanao lima haya mafraisha kama kilimo biashara?
MAMESHO JF-Expert Member Joined Jul 5, 2011 Posts 1,432 Reaction score 1,749 Dec 5, 2020 #2 Wapo japo sina hakika kama ni mbegu hiyo
TIASSA JF-Expert Member Joined Jun 17, 2014 Posts 3,111 Reaction score 4,000 Dec 5, 2020 Thread starter #3 MAMESHO said: Wapo japo sina hakika kama ni mbegu hiyo Click to expand... Ok
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 175,967 Reaction score 194,043 Dec 5, 2020 #4 Ngoja waje kutoa muongozo... Cc: mahondaw
Bwana Mpanzi JF-Expert Member Joined Jun 28, 2019 Posts 200 Reaction score 198 Dec 6, 2020 #5 Hapana hakuna ila micactus ipo inajiotea maeneo kame hivyo bado watu hawajajikitw katika kilimo chake
Hapana hakuna ila micactus ipo inajiotea maeneo kame hivyo bado watu hawajajikitw katika kilimo chake
R rodrick alexander JF-Expert Member Joined Feb 12, 2012 Posts 18,073 Reaction score 25,747 Dec 7, 2020 #6 Haya huwa yanajiotea miti yake tulikuwa tunaita miba bamba.
Chupayamaji JF-Expert Member Joined Sep 19, 2017 Posts 5,780 Reaction score 13,696 Dec 7, 2020 #7 Likipatikana soko lake watu watalima tu.
Bwana Mpanzi JF-Expert Member Joined Jun 28, 2019 Posts 200 Reaction score 198 Dec 19, 2020 #8 Soko lake lipo mbioni hasa kwa wale wanaofanya kilimo hai ndio mteremko wao maana hii ni moja ya mahitaji ya msingi katika kutengeneza mbolea na viuatirifu rafiki vya kilimo hai Chupayamaji said: Likipatikana soko lake watu watalima tu. Click to expand...
Soko lake lipo mbioni hasa kwa wale wanaofanya kilimo hai ndio mteremko wao maana hii ni moja ya mahitaji ya msingi katika kutengeneza mbolea na viuatirifu rafiki vya kilimo hai Chupayamaji said: Likipatikana soko lake watu watalima tu. Click to expand...