T ts9_dna Member Jun 9, 2023 28 99 Oct 26, 2023 #1 Bado najaribu kujiuliza mtu aliyeuwa maksudi kabisa mfano hao mafreemason na mtu aliyeiba machungwa mawili akiwa na njaa wote watahukumiwa sawa mbele za bwana kama iwapo hawatatubu?? Kumbuka Amri zinasema kuiba na kuua zote ni dhambi .
Bado najaribu kujiuliza mtu aliyeuwa maksudi kabisa mfano hao mafreemason na mtu aliyeiba machungwa mawili akiwa na njaa wote watahukumiwa sawa mbele za bwana kama iwapo hawatatubu?? Kumbuka Amri zinasema kuiba na kuua zote ni dhambi .
berylyn JF-Expert Member Dec 26, 2021 864 2,553 Oct 26, 2023 #2 Narudia swali, aliyemkana Mungu na kujiunga na freemason na Mimi ambaye sijaishika kitakatifu siku ya Mungu wote tunaenda motoni?
Narudia swali, aliyemkana Mungu na kujiunga na freemason na Mimi ambaye sijaishika kitakatifu siku ya Mungu wote tunaenda motoni?