Infiltrator
JF-Expert Member
- May 13, 2017
- 205
- 333
Nimestaajabu kuona mtu mwenye hadhi ya ubunge akijihusisha na matukio yanayofaa kufanywa na mjumbe wa nyumba kumi, huku akijinasibu mitandaoni.
Je, hili ni “funika kombe mwanaharamu apite” au ni dharau kwa wananchi? Je, wabunge mnadhani hatujitambui?
Mbali na nafasi yake ya ubunge, huyo mshangazi ni Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Dodoma.
Wanawake wa Dodoma, kama huyu ndiye kiongozi wenu, kuna haja kubwa ya kujitafakari; kwa kifupi, hajitambui kabisa!
Hali kama hii inaleta maswali makubwa kuhusu uwazi na vipaumbele vya ziara za wabunge.
Wananchi wanatarajia uwajibikaji, si matukio yanayoonyesha ukosefu wa utambuzi hadharani.
Neema Majule (Mshangazi), jitafakari sana; matukio yako ya mchongo hayana nafasi katika hadhi ya ubunge.
Je, hili ni “funika kombe mwanaharamu apite” au ni dharau kwa wananchi? Je, wabunge mnadhani hatujitambui?
Mbali na nafasi yake ya ubunge, huyo mshangazi ni Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Dodoma.
Wanawake wa Dodoma, kama huyu ndiye kiongozi wenu, kuna haja kubwa ya kujitafakari; kwa kifupi, hajitambui kabisa!
Hali kama hii inaleta maswali makubwa kuhusu uwazi na vipaumbele vya ziara za wabunge.
Wananchi wanatarajia uwajibikaji, si matukio yanayoonyesha ukosefu wa utambuzi hadharani.
Neema Majule (Mshangazi), jitafakari sana; matukio yako ya mchongo hayana nafasi katika hadhi ya ubunge.