calory
Member
- Apr 29, 2013
- 31
- 6
Sinto faham ya wapi walipo vigogo wauza unga na nani anaye walinda na kuficha ukweli kuhusu uingizaji na usafirishaji wa madawa ya kulevya, unaleta mashaka katika serikali yetu ya CCM, kwanini hao wahusika kila mtu anasema hawajui?? hili lina tufanya tuamini kua serikali ina husika kuchukua kiasi flani cha pesa kama kodi, ninaposema serikali na maanisha CCM inatoza kodi kwa wafanya biashara wa mihadarati kwa niaba ya TRA. Swala hili halionyeshi dalili ya kukoma siku za karibuni kwasababu miundo mbinu ya usafirishaji na uuzaji wa madawa haya unafanikishwa na vigogo wakubwa serikalini. Je tozo katika mihadarati inaenda wapi? na ninani ananufaika na kodi hiyo?