Je! Kamata - Zuia Ushindani sio Mbinu ya Kuzuia Mjadala wa Bajeti ya Fedha?

1954tanu

JF-Expert Member
Jul 19, 2013
1,038
487
Nchi ya wagagagigikoko na serikali yake chini ya chama cha wazuvendi, watu weusi weupe kwenye viganja ilikuwa na imekuwa ikizua matukio ili kuondoa umakini kwenye masuala nyeti ya taifa.

Safari hii wazuvendi wameamua kuziba mjadala wa bajeti kwa wizara ya MAHELA kwa kuzua tahaluki. Washindani wako wanaburushwa selo popote wanapokutanika.

Dalili ni kwamba mhusika mkuu katika riwaya hii ni Bulicheka. Hata hivyo, washindani wameapa hawaogopi hao sungu sungu.
Wala wanasema hawamwogopi Bulicheka.

Mchezo huu utakoma baada ya lugumya na mambo ya kukadilia MAHELA utakapo kuwa umeisha. M
 
Back
Top Bottom