Ninaamini Siasa si Uadui na kuwa na urafiki na Mtu si lazima kukubaliana nae kila kitu asemacho.
Naomba wanajanvi mniambie wanasiasa hawa wakongwe ni kweli lazima wawe team ili nchi iendelee kijamii, kiuchumi na kisiasa?
hata Mbowe ameshamuunga mkono, tangu Mkombozi EL aanze kukaza mwendo wa Magogoni basi anaomba ubunge tu, anajua ikulu ataenda japo kunywa juice.Bilionea la Chadema Mzee Ndesamburo yeye pia kummiminia sifa Lowassa.
Huyo ndiyo kiboko ya lowasa arusha , muulize Batrida buriani anaelewa , Lema ni noma sana ! Amemstaafisha ubunge mzee wa watu bila kutegemea , urais hata fomu hatopewa na ubunge ndio hivyo tena !
Sijawahi kuwasikia wapinzani wakimtukana Lowassa hata siku moja! Ndiyo pale mtu unaona kabisa na kabaini ukomavu wa kina Mbowe, Lipumba, Mbatia, Slaa na vijana wao kina Mnyika na wengine.
Nina ndoto kuhusu hawa wapinzani hasa ndugu Mnyika iko siku moja kwa msaada wa Mungu aliye hai Mnyika atapigiwa Mizinga 21 na moja katika ardhi hii ya Tanzania.
Hili lipo na limesharatibiwa katika ulimwengu Wa roho.
Huyo ndiyo kiboko ya lowasa arusha , muulize Batrida buriani anaelewa , Lema ni noma sana ! Amemstaafisha ubunge mzee wa watu bila kutegemea , urais hata fomu hatopewa na ubunge ndio hivyo tena !
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.