Ninaamini Siasa si Uadui na kuwa na urafiki na Mtu si lazima kukubaliana nae kila kitu asemacho.
Naomba wanajanvi mniambie wanasiasa hawa wakongwe ni kweli lazima wawe team ili nchi iendelee kijamii, kiuchumi na kisiasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.