Je, huyu house boy atakuwa anavuta bangi?

huyo havuti bangi,ila anasukuma bangi!!
 
Wewe jamaa ni bingwa wa kutunga comedyπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
ningempa kesi yoyote kubwa kubwa kama ya wizi wa milion 600 hivi ili akawafokee na manyapara jela
 
ningempa kesi yoyote kubwa kubwa kama ya wizi wa milion 600 hivi ili akawafokee na manyapara jela
Ningekuwa nimetenda dhambi ya kimakusudi. Ningehukumiwa sana na dhamira yangu. Ningehukumiwa na walimwengu, ningehukumiwa hadi na shetani mwenyewe kabla sijahukumiwa na Mungu Baba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…