Je, hili ni tatizo, au?!

Je, hili ni tatizo, au?!

Natal Vice

Member
Joined
Dec 8, 2013
Posts
16
Reaction score
8
ni msichana mwenye umri wa miaka 24,ana takribani miaka kama mitatu hivi,hajawahi kusikia raha anapokutanana na mwenziwe faragha,kwa kifupi haijui raha ya mapenzi ikoje,je hali hii inaweza kusababiswa na nini???????????
 
wajuvi wa mambo wanasema, poor preparation kabla ya mechi inachangia sana katika tatizo hili..

halafu psychological problems nazo zinahusika.. pull yourself together for the action, sio wakati wa sex wewe unawaza matatizo yako mengine.... hapo obviously hautojisikia chochote...

btw, tusubiri experienced people...
 
wajuvi wa mambo wanasema, poor preparation kabla ya mechi inachangia sana katika tatizo hili..

halafu psychological problems nazo zinahusika.. pull yourself together for the action, sio wakati wa sex wewe unawaza matatizo yako mengine.... hapo obviously hautojisikia chochote...

btw, tusubiri experienced people...

yah! Umebonyoa sehemu nyeti mkuu.....ila miaka mitatu ni mingi sana , labda atuambie mara ngapi na idadi ya wanaume alioshiriki nao katika tendo.....lasivyo yeye mwenyewe huenda ana matatizo ya kiafya na hata kisaikolojia.......pia aseme kama alishiriki mnyetuko!
 
yah! Umebonyoa sehemu nyeti mkuu.....ila miaka mitatu ni mingi sana , labda atuambie mara ngapi na idadi ya wanaume alioshiriki nao katika tendo.....lasivyo yeye mwenyewe huenda ana matatizo ya kiafya na hata kisaikolojia.......pia aseme kama alishiriki mnyetuko!

huyu si mwanamke lakini?

actually, nna mashaka, anaweza kuwa tom boy... jike dume!

they care nothing about sex..!
 
huyu si mwanamke lakini?

actually, nna mashaka, anaweza kuwa tom boy... jike dume!

they care nothing about sex..!

miaka mitatu yote hyo? afu ni mwanaume yule yule au wanaume tofaut tofaut? nahis shida itakuwa kwake 'ke'
 
miaka mitatu yote hyo? afu ni mwanaume yule yule au wanaume tofaut tofaut? nahis shida itakuwa kwake 'ke'

mkuu unajua wanawake wa hivi wako wachache sana...

hypothesis yangu nyingine naweza sema kwamba kakeketwa..! unless aje athibitishe kwamba hajakatwa antena yake...

nahisi hapo panahusika sana!
 
huyu si mwanamke lakini?

actually, nna mashaka, anaweza kuwa tom boy... jike dume!

they care nothing about sex..!

inawezekana ikawa sawa na kile unachosema maana ni vigumu kuamini mwanamke aliyekamilika , tena hasiolewa ...kutohisi lolote katika sex kwa miaka mitatu! Huyu ana matatizo ya kisaikolojia.....nakubaliana nawe mkuu wangu Excel
 
Last edited by a moderator:
inawezekana ikawa sawa na kile unachosema maana ni vigumu kuamini mwanamke aliyekamilika , tena hasiolewa ...kutohisi lolote katika sex kwa miaka mitatu! Huyu ana matatizo ya kisaikolojia.....nakubaliana nawe mkuu wangu Excel

kukeketwa nako kunahusika.... antena ikiondolewa, feeling za sex huwa zinapaa!
 
ha! ha! mkuu kwan inashindikana?

inawezekana mkuu....ila kama ni mwanaume mmoja kwa miaka yote hiyo lazima mtatafuta suruhu maana kila mmoja atakuwa huru na mwenzie......ila maelezo ya mtoa mada hayajajitosheleza!
 
mkuu unajua wanawake wa hivi wako wachache sana...

hypothesis yangu nyingine naweza sema kwamba kakeketwa..! unless aje athibitishe kwamba hajakatwa antena yake...

nahisi hapo panahusika sana!

nina kajiswali hapa.. hv inawezekana kabisa mtu kwa miaka yote mitatu unashindwa kujua tatizo liko wap?
 
kukeketwa nako kunahusika.... antena ikiondolewa, feeling za sex huwa zinapaa!

hapohapo mkuu!......hivi mwanamke akikeketwa hawezi akatibiwa kitaalam kufurahia tendo bila kuwa na ile kitu pale kati?
 
inawezekana mkuu....ila kama
ni mwanaume mmoja kwa miaka yote hiyo lazima mtatafuta suruhu maana
kila mmoja atakuwa huru na mwenzie......ila maelezo ya mtoa mada
hayajajitosheleza!

kweli mtoa mada angesema kabisa kama huyo mwanamke alikuwa njia kuu miaka yote mitatu au ndo kulikuwa na michepuko ya hapa na pale.
 
hapohapo mkuu!......hivi mwanamke akikeketwa hawezi akatibiwa kitaalam kufurahia tendo bila kuwa na ile kitu pale kati?

mkuu, sijawahi sikia hiki kikiongelewa... ila kwa wanawake wengi sana especially home kule ukuryani, wanaweza kaa hata miaka mi5 bila sex feelings.. hiyo nilishaona..

kisu kikishapitishwa kuondoa kata, basi!!

kwa upande wa kurudishwa aisee sijawahi sikia mkuu! otherwise wabuni tu njia hiyo kwa sasa..
 
Back
Top Bottom