Shida siku hizi wanawake tunaingia kwenye ndoa kwa ajili ya kujaribisha, na sio kama ndio tumeolewa (for life). Ndio maaana inakuja swala la kuficha mali na hata KUKATAA KUBADILISHA MAJINA YA WAZAZI WETU!
Shoga ukiwa hivyo,. litakusumbua sana. Ukiamua kuolewa na sio kwenda kujaribisha, kuwa muwazi!