Je hili linawezekana?

TADPOLE

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2015
Posts
3,305
Reaction score
10,936
Wakuu wa jukwaa hili habarini,
Naomba kuwauliza swali dogo tu linalonitatiza natumaini mtanijibu. Eti inawezekana mtu aliyesoma Sayansi O-level na combination kubalance lakini A-level akasoma arts (HGL), kuapply kozi za Sayansi kwa kutumia cheti cha O-level?

Je kama inawezekana ni kwa ngazi ya Diploma, Degree au Cheti?
 
Sidhani ikiwa inawezekana Kwa Hilo....!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…