MEKADDISHKEM
Senior Member
- Sep 15, 2016
- 148
- 142
Wakubwa Shikamoo, wadogo habari za saa hizi
Jamani naombeni ufafanuzi juu ya technician certificate NTA level 5 na diploma
mtu ukachaguliwa NTA level 5(miaka2) ukasoma na kumaliza na ufaulu mzuri
kwenda diploma imekaaje.
Kuna Mtu kaniambia eti unanza upya so it means utasoma miaka 3 tena. jumla mitano mpaka kupata diploma.
Je hii ni kweli, I am form six level but sikufanikiwa kufaulu
Jamani naombeni ufafanuzi juu ya technician certificate NTA level 5 na diploma
mtu ukachaguliwa NTA level 5(miaka2) ukasoma na kumaliza na ufaulu mzuri
kwenda diploma imekaaje.
Kuna Mtu kaniambia eti unanza upya so it means utasoma miaka 3 tena. jumla mitano mpaka kupata diploma.
Je hii ni kweli, I am form six level but sikufanikiwa kufaulu