Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Naiomba serikali inapojipanga kuagiza dawa kutoka Madagasca wajipange pia kudhibiti dawa feki kutoka kwa watu mbalimbali zisiingie kwenye mzunguko maana tunaweza wateketeza Watanzania wengi zaidi.
Kama machine za kupima covid zimeonekana zina tatizo, nawaza dawa ambayo mtu yoyote anaweza kutengeneza chupa na lable Kama ya Madagasca tutadhibiti vipi.
Tusipojipanga na tukawa na machine au vipimo vya kutofautisha dawa halisi na dawa feki tutaliingiza Taifa kwenye matatizo zaidi. Lazima shirika la viwango liwe na wataalamu wakuitambua dawa mpya pamoja na machine.
Kwenu wananzengo
Kama machine za kupima covid zimeonekana zina tatizo, nawaza dawa ambayo mtu yoyote anaweza kutengeneza chupa na lable Kama ya Madagasca tutadhibiti vipi.
Tusipojipanga na tukawa na machine au vipimo vya kutofautisha dawa halisi na dawa feki tutaliingiza Taifa kwenye matatizo zaidi. Lazima shirika la viwango liwe na wataalamu wakuitambua dawa mpya pamoja na machine.
Kwenu wananzengo