Sabry001
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 1,064
- 353
Nilikuwa najiuliza mfano tukampa nchi aiongoze je tatizo wanalolipata waishio mabondeni huko daslam kila inyweshapo mvua atalimaliza? Kwa mtazamo wangu tatizo sio mvua wala kuishi mabondeni, TATIZO MIUNDOMBINU MIBOVU! Mabilioni ya Epa, sherehe za uhuru na mengneyo yangeboresha mfumo wa maji taka, ujenzi wa mto msimbazi cjui mto mbezi na kigogo, maafa haya yangekuwa historia kwe2. Was just tryn to thnk aloud!
Ngashtuka!
Ngashtuka!