Je?.Chadema ni chama cha Mbowe au ni Taasisi

Je?.Chadema ni chama cha Mbowe au ni Taasisi

GUSSIE

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2014
Posts
3,880
Reaction score
11,143
Wanabodi,
Kuna wakati wafuasi wa kanisa la Full gospel Bible church linaolomilikiwa na Askofu Zakaria Kakobe waliwahi kudai hati za ardhi za kanisa na viwanja wakijua zimeandikwa jina la kanisa wakaja kushtuka wamepigwa na kitu kizito mahakamani ,Kumbe lile kanisa ni mali ya kakobe viwanja ,nyumba na ardhi vyote vimesajiliwa kwa majina ya Zakaria Kakobe na siyo kwa majina ya kanisa

Ashakumu sio matusi kuna tatizo kubwa kwa wafuasi wa chadema kwa kutojua mmiliki halali wa chadema ni nani ? Na wao ni akina nani ndani ya chadema na mipaka yao ni ipi?

Yawezekana Chadema ni mali ya Mbowe na Mbowe ndie chadema mwenyewe,Na hili amelithibitisha mwenyewe kwa kauli yake na nainukuu hapa;

"NIKIONA CHAMA CHANGU KINAPOTEA NITAINGIA MZIGONI MWENYEWE KUKIPIGANIA"

"NIMEPOTEZA MALI ZANGU NA KUFIRISIWA BIASHARA ZANGU NA NIMEVUJA JASHO NA DAMU KWA AJILI YA CHAMA CHANGU NILICHOKIASISI SITAKUBALI KIPOTEE KIRAHISI "

"NiPO SANA CHADEMA NA NITAENDELEA KUWEPO NA NITAGOMBEA"-Kauli hii inaonekana hakuna mtu anayeweza kumfukuza Mbowe chadema maana anasema yupo na ataendelea kuwepo sana

Kuna maswali kwa wafuasi wa hii inayoitwa Chadema,

1.Je,Wamefuatilia nyaraka za usajili na wamezisoma zinasoma majina ya nani ni taasisi au mali ya mbowe?

2.kama ni mali ya Mbowe,Je?Wao waliitwa na nani kujiunga nae,Isije ikawa waliitwa na wapambe lakini Mbowe mwenyewe hawatambui hao wapambe

3.Je? Kama chadema ni mali yake Mbowe. kwanini wafuasi mnataka kumpangia agombee au asigombee uenyekiti wa mali yake

4.Kama wafuasi wapo sawa na hawana tatizo lolote inakuwaje mnataka kushiriki kugawana mali isiyo wahusu wala hamjui ilitafutwa kwa kiasi gani na mmiliki amevuja jasho kiasi gani?

5.Je huko kwa msajili baada ya akina Bob Makani na Mtei kama waanzilishi kutokuwepo duniani ,Hati za usajili zinasoma majina ya akina nani kwa sasa ?Je chadema inasomeka kama taasisi au mali ya mtu

Member mmoja ajulikanaye kama johnthebaptist amehoji sana wanaopiga kelele Mbowe asigombee wanafahamu malengo ya uanzishwaji wa chadema miaka ile ya 1992
 
100% ni chama cha Mbowe ,Ni miradi kama miradi mingine ya kujiingizia pesa

Chadema ingekuwa ni taasisi ingekuwa na succession plan ya utawala

Uwepo wa utawala wa kia ayatollah ni tosha kuna shida sehemu

Wafuasi wengi wanalamba viatu vya mwenyekiti kwa kupewa masalia ya chakula ili waendeshe maisha ya hapa na pale
 
Wanabodi,
Kuna wakati wafuasi wa kanisa la Full gospel Bible church linaolomilikiwa na Askofu Zakaria Kakobe waliwahi kudai hati za ardhi za kanisa na viwanja wakijua zimeandikwa jina la kanisa wakaja kushtuka wamepigwa na kitu kizito mahakamani ,Kumbe lile kanisa ni mali ya kakobe viwanja ,nyumba na ardhi vyote vimesajiliwa kwa majina ya Zakaria Kakobe na siyo kwa majina ya kanisa

Ashakumu sio matusi kuna tatizo kubwa kwa wafuasi wa chadema kwa kutojua mmiliki halali wa chadema ni nani ? Na wao ni akina nani ndani ya chadema na mipaka yao ni ipi?

Yawezekana Chadema ni mali ya Mbowe na Mbowe ndie chadema mwenyewe,Na hili amelithibitisha mwenyewe kwa kauli yake na nainukuu hapa;

"NIKIONA CHAMA CHANGU KINAPOTEA NITAINGIA MZIGONI MWENYEWE KUKIPIGANIA"

"NIMEPOTEZA MALI ZANGU NA KUFIRISIWA BIASHARA ZANGU NA NIMEVUJA JASHO NA DAMU KWA AJILI YA CHAMA CHANGU NILICHOKIASISI SITAKUBALI KIPOTEE KIRAHISI "

"NiPO SANA CHADEMA NA NITAENDELEA KUWEPO NA NITAGOMBEA"-Kauli hii inaonekana hakuna mtu anayeweza kumfukuza Mbowe chadema maana anasema yupo na ataendelea kuwepo sana

Kuna maswali kwa wafuasi wa hii inayoitwa Chadema,

1.Je,Wamefuatilia nyaraka za usajili na wamezisoma zinasoma majina ya nani ni taasisi au mali ya mbowe?

2.kama ni mali ya Mbowe,Je?Wao waliitwa na nani kujiunga nae,Isije ikawa waliitwa na wapambe lakini Mbowe mwenyewe hawatambui hao wapambe

3.Je? Kama chadema ni mali yake Mbowe. kwanini wafuasi mnataka kumpangia agombee au asigombee uenyekiti wa mali yake

4.Kama wafuasi wapo sawa na hawana tatizo lolote inakuwaje mnataka kushiriki kugawana mali isiyo wahusu wala hamjui ilitafutwa kwa kiasi gani na mmiliki amevuja jasho kiasi gani?

5.Je huko kwa msajili baada ya akina Bob Makani na Mtei kama waanzilishi kutokuwepo duniani ,Hati za usajili zinasoma majina ya akina nani kwa sasa ?Je chadema inasomeka kama taasisi au mali ya mtu

Member mmoja ajulikanaye kama johnthebaptist amehoji sana wanaopiga kelele Mbowe asigombee wanafahamu malengo ya uanzishwaji wa chadema miaka ile ya 1992
Yaani mpaka leo wewe unajifanya hufahamu tu?😁
 
Yaani mpaka leo wewe unajifanya hufahamu?
Mimi nafahamu ukweli,Tatizo linakuja kwa wafuasi wake kama@Yericko Nyerere ambao wanamuona Mbowe ni Immortal na kutwa wanaimba mapambio hapa JF kwa verse;

"Mbowe is living Forever"

"Mbowe will never decay"

"Mbowe will never die"

Sasa kama akina Yericko Nyerere wanaamini bila Mbowe hakuna chadema tena na wanamuhitaji mbowe milele na milele ,Mimi ni nani nisitambue mmiliki wa hii inaitwa chadema
 
Kwani kili sajiliwa na nani
Hilo swali angeulizwa yule aliewapa mtaji wa kuanzisha vyama miaka ile ya 1990's ili kupanua demokrasia Tanzania

Je unaweza mdharau aliyekupa mtaji ,Sio kitu rahisi sana kwa mtu mwenye akili timamu kama Mbowe

Hiyo nafasi ya uenyekiti atakuja kurithishwa Mkwe ambae ataheshimu historia

Wanaomlazimisha Mbowe awadharau waliompa mtaji ili aruhusu mabadiliko ndio tatizo
 
Atabaki na Meza na viti na Yericko Boniyai na madebe ya Mbege.

Sisi tutaenda Sauti ya Watanzania.
 
Wote ni Wahuni wahuni hao....

Wamepoteza matumaini ya Upinzani kwa sasa watanzania wengi hawajui wamchague nani. Na sio ajabu wengi hawashiriki chaguzi..
 
Back
Top Bottom