Bepari la bariadi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2016
- 420
- 673
Nikitafakari hii kadhia ya hama hama,huku wahusika wakisema ni kuunga juhudi, lakini wapiga zumari wakidai wananunuliwa.
Ni dhahiri shahiri hii inaleta mkanganyiko mkubwa sana kwa sisi wananchi wakawaida,maana ni maramia kuchagua watu wa kutoka CCM ilikuokoa mabilioni yanayoteketezwa kwa chaguzi za marudio zinazosababishwa na danguro la chama ninalo fuga makahaba wa siasa, kama mnanunulika kiasi hiki vipi tungewakabithi ikulu hata kwa dakika tano?
Kwa maana naamini kabisa wengi kati ya wanaohama endapo chadema ingeshika dola 2015 wangekuwa mawaziri katika wizara mbalimbali na nyeti kabisaa. Hawa siwangetuuza kabisa.Kwasasa naiona chadema kama genge la wahuni tu kuanzia mwenyekiti taifa mpk mwenyekiti wa mtaa. Maana waweza kufika bei muda wowote.
Ukweli ni kwamba hii inayotokea kwa sasa inaondoa kabisa imani kwa wanainchi, na mkisema wananunuliwa ndiyo mnaharibu kabisa LEGITIMACY yenu ya kupewa madaraka na wanainji wa inji hii. Tafuteni epicenter ya tatizo hili siyo simple blemings tu.
Povu ruksa kabisa.
Karibuni tujadili ili kukinusuru chama hiki
Ni dhahiri shahiri hii inaleta mkanganyiko mkubwa sana kwa sisi wananchi wakawaida,maana ni maramia kuchagua watu wa kutoka CCM ilikuokoa mabilioni yanayoteketezwa kwa chaguzi za marudio zinazosababishwa na danguro la chama ninalo fuga makahaba wa siasa, kama mnanunulika kiasi hiki vipi tungewakabithi ikulu hata kwa dakika tano?
Kwa maana naamini kabisa wengi kati ya wanaohama endapo chadema ingeshika dola 2015 wangekuwa mawaziri katika wizara mbalimbali na nyeti kabisaa. Hawa siwangetuuza kabisa.Kwasasa naiona chadema kama genge la wahuni tu kuanzia mwenyekiti taifa mpk mwenyekiti wa mtaa. Maana waweza kufika bei muda wowote.
Ukweli ni kwamba hii inayotokea kwa sasa inaondoa kabisa imani kwa wanainchi, na mkisema wananunuliwa ndiyo mnaharibu kabisa LEGITIMACY yenu ya kupewa madaraka na wanainji wa inji hii. Tafuteni epicenter ya tatizo hili siyo simple blemings tu.
Povu ruksa kabisa.
Karibuni tujadili ili kukinusuru chama hiki