JOH CARLOS
JF-Expert Member
- May 13, 2016
- 579
- 269
habar wana jf.
je baada ya kuajiriwa huwa kunakua na makato ambayo serikali ilikulipia wakati ukiwa chuo yaani mikopo ,ni pesa ipi huwa wanakata? ,boom au pesa ya ada ambayo ni tofauti kwa wanafunzi.
je baada ya kuajiriwa huwa kunakua na makato ambayo serikali ilikulipia wakati ukiwa chuo yaani mikopo ,ni pesa ipi huwa wanakata? ,boom au pesa ya ada ambayo ni tofauti kwa wanafunzi.