Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,057
- 10,366
Wadau habari za muda huu,
Najaribu kutafakari na hatua ambazo Rais Donald Trump anachukua kwa sasa na matokeo yake kwa wamarekani na ulimwengu kwa ujumla.
Sote tunajuwa kwamba Urusi aliinjinia uchaguzi mzima wa marekani na kuhakikisha Trump anakuwa rais wa taifa hilo.Hii ilikuwa confirmed na FBI na CIA mpaka Rais Obama wakati huo aliamua kuvunja mahusiano ya kibalozi na Urusi kwa kuwafukuza maafisa wa kidiplomasia wa Urusi walioko Washington DC.
Tuna maswali kadhaa ya kujiuliza lengo la Urusi kumsaidia Trump kuingia White house ni lipi? Uhusiano kati ya Urusi na Marekani unafahamika toka kumalizika kwa vita baridi.
Kwa sasa Trump ameanza kazi na anachukua hatua ambazo kwa namna moja au nyingine ni ngeni machoni pa wamarekani na walimwengu wengi kwa ujumla. Je zinaweza kuwa na matokeo gani kwa taifa la marekani na dunia kwa ujumla?
Je wakuu bado tunaamini marekani ni salama?
Hebu tuje na hoja zenye mantiki katika hili suala.
Karibuni sana
Najaribu kutafakari na hatua ambazo Rais Donald Trump anachukua kwa sasa na matokeo yake kwa wamarekani na ulimwengu kwa ujumla.
Sote tunajuwa kwamba Urusi aliinjinia uchaguzi mzima wa marekani na kuhakikisha Trump anakuwa rais wa taifa hilo.Hii ilikuwa confirmed na FBI na CIA mpaka Rais Obama wakati huo aliamua kuvunja mahusiano ya kibalozi na Urusi kwa kuwafukuza maafisa wa kidiplomasia wa Urusi walioko Washington DC.
Tuna maswali kadhaa ya kujiuliza lengo la Urusi kumsaidia Trump kuingia White house ni lipi? Uhusiano kati ya Urusi na Marekani unafahamika toka kumalizika kwa vita baridi.
Kwa sasa Trump ameanza kazi na anachukua hatua ambazo kwa namna moja au nyingine ni ngeni machoni pa wamarekani na walimwengu wengi kwa ujumla. Je zinaweza kuwa na matokeo gani kwa taifa la marekani na dunia kwa ujumla?
Je wakuu bado tunaamini marekani ni salama?
Hebu tuje na hoja zenye mantiki katika hili suala.
Karibuni sana