Je, Amani ni tunu ya taifa?

maganjwa

JF-Expert Member
Sep 11, 2012
2,789
2,327
Nina pata shida sana kichwani kiongozi mkubwa wa taifa anapowaambia wana wa nchi kwamba tulinde amani yetu na kusema amani ni tunu ya taifa je ni kwa makusudi au hajui kwamba amani kweli si tunu ya taifa ila ni matokeo ya tunu ya taifa.

Kwa sababu nimetafakari sana bila haki hakuna amani je hawajui hilo kweli? bila maadili na miiko hakuwezi kuwa na utulivu wa kisiasa katika nchi. je hawajui hilo? wanaiba mali ya wananchi huku wakisema tulinde amani yetu hii mana yake nini? Angalia richmond, meremeta, kiwira, EPA, na sasa escrow huku wanasisitiza tulinde amani yetu jamani huku wahujumu wanapeta amani itike wapi kama sio kutia hasira

jamani tusaidiane mimi amani ni matokeo ya kufuata tunu ya taifa inayozaa haki na haki ikitamalaki amani ndio hushamiri na watu kuwa imani na serikali yao huku wakiwa na uhakika mambo yanakwenda vizuri.

Karibuni kwa mjadala
 
Nina pata shida sana kichwani kiongozi mkubwa wa taifa anapowaambia wana wa nchi kwamba tulinde amani yetu na kusema amani ni tunu ya taifa je ni kwa makusudi au hajui kwamba amani kweli si tunu ya taifa ila ni matokeo ya tunu ya taifa.

Kwa sababu nimetafakari sana bila haki hakuna amani je hawajui hilo kweli? bila maadili na miiko hakuwezi kuwa na utulivu wa kisiasa katika nchi. je hawajui hilo? wanaiba mali ya wananchi huku wakisema tulinde amani yetu hii mana yake nini? Angalia richmond, meremeta, kiwira, EPA, na sasa escrow huku wanasisitiza tulinde amani yetu jamani huku wahujumu wanapeta amani itike wapi kama sio kutia hasira

jamani tusaidiane mimi amani ni matokeo ya kufuata tunu ya taifa inayozaa haki na haki ikitamalaki amani ndio hushamiri na watu kuwa imani na serikali yao huku wakiwa na uhakika mambo yanakwenda vizuri.

Karibuni kwa mjadala
 
kama ukifikiri kidogo utagundua aman ni matoke ya tunu ya taifa mfano wa tunu ya taifa ni haki, uwajibikaji, uhuru wa kuabudu, lugha moja ya taifa ili kuunganisha watu, ardhi kuwa mali ya umma, ajira bila upendeleo, maadili na miiko ya uongoz hayo ndio tunu wala sio aman kwa mana hayo yakifanyika amani hutamalaki sasa viongoz wetu kwa ni makusud au hawajui kwamba aman sio tunu kila mara wanasema tulinde aman yetu, tulinde aman yetu, wakati wameharibu tunu ya taifa ambayo aman imejengwa juu yake alaf amani inalindwa vp kama vyombo vya serikali na serikali yenyewe wamehalif misingi ya amani? aman na utuliv tuliyonayo ni matokeo ya utawala wa nyerere na uongoz wake wao wamefanya nin kama si kuharibu? nawaomba ebu tuwakemee wanapokuja kuomba kura mwaka huu majue hatutaki kudanganywa kwa kuwauza maswali hayo? karibuni kwa mjadala jambo hili mnalionaje?
 
Back
Top Bottom