DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Wagombea wengi huahidi mambo makubwa wakati wa kampeni kama vile kujenga barabara, ajira kwa vijana, au elimu bure hata kama hawana uwezo wa kutimiza, Uutakuta mbunge anahaadi ujenzi wa barabara ya lami lakini kumbuka mbunge hawezi kujenga kwa hela zake mpaka akaombe hela bungeni na bunge liidhinishe huu sio uongo?
Lakini je, kutoa ahadi za uongo ni kosa kisheria? Kwa sasa, sheria nyingi hazitoi adhabu ya moja kwa moja kwa ahadi za kisiasa zisizotekelezeka, ila hatua zinaweza kuchukuliwa ikiwa kuna ushahidi wa udanganyifu wa makusudi kwa nia ya kupotosha umma kwanini wasichukuliwe hatua za haraka kwa uwongo wao mkubwa tena mbele ya umati wa watu? kama huwa wanachukuliwa hatua za kisheria ni zipi?
Ni wakati wa kuelimika: Hoja mbele ya ushabiki! Kagua ahadi, uliza maswali, piga kura kwa uelewa.
Lakini je, kutoa ahadi za uongo ni kosa kisheria? Kwa sasa, sheria nyingi hazitoi adhabu ya moja kwa moja kwa ahadi za kisiasa zisizotekelezeka, ila hatua zinaweza kuchukuliwa ikiwa kuna ushahidi wa udanganyifu wa makusudi kwa nia ya kupotosha umma kwanini wasichukuliwe hatua za haraka kwa uwongo wao mkubwa tena mbele ya umati wa watu? kama huwa wanachukuliwa hatua za kisheria ni zipi?
Ni wakati wa kuelimika: Hoja mbele ya ushabiki! Kagua ahadi, uliza maswali, piga kura kwa uelewa.