Maelezo ya kijinga tu,Kila kitu kina standby hiyo ya kuzima ili kufanya service ni Mambo yao tu,muda wa kula kulingana na urefu wa kamba, maendeleo siyo lengo lao,muhimu mtoto wa nani.Ndugu, yaani miaka mitano mitambo itumike bila matengenezo yeyote?
Ndiyo kazi aliyoletewa January hapo ili njia za kuwaleta wawekezaji wapigaji na generators ziuzwe,Mh. January Makamba, kuwaongopea na kuwadanganya wananchi haina afya kwa taifa. Kama wizara hii uliikuta na makando kando mengi, ni vyema ukakaa pembeni ili usipoteze sifa yako ya uongozi.
Tenesco wanatangaza mgao tena, yaani watu warudi kwenye manunuzi ya generator? Ni shughuli ngapi za kiuchumi zitakuwa zinakwama kwa kukata umeme? Hasara itakayopatikana nani wa kuifidia?.
Wakati wa JPM haya mambo tulishayasahau, mnataka tena turudi kule, huko wapi uchumi wa kati.
Hajawahi mzidi makonda kwa kupendwa ila sasa yuko wapi? cocochanelHuyo ni mtoto pendwa hawezi ondolewa mtasubiri sana
Januari ana kosa gani?kwanini hamuwi objective,lawama za kijinga hazina maanaMh. January Makamba, kuwaongopea na kuwadanganya wananchi haina afya kwa taifa. Kama wizara hii uliikuta na makando kando mengi, ni vyema ukakaa pembeni ili usipoteze sifa yako ya uongozi.
Tenesco wanatangaza mgao tena, yaani watu warudi kwenye manunuzi ya generator? Ni shughuli ngapi za kiuchumi zitakuwa zinakwama kwa kukata umeme? Hasara itakayopatikana nani wa kuifidia?.
Wakati wa JPM haya mambo tulishayasahau, mnataka tena turudi kule, huko wapi uchumi wa kati.
Economic hitman wapo kazini. Nashangaa Zitto yupo kimya huku nchi inapokwa na wezi na mabeberu au kwa sababu ni waislamu wenzake wanaoongoza?????
Hata mimi ndivyo nafahamu... Uongozi uliopita pamoja na mazuri na maovu yake, lakini sifa ya ziada ilikuwa kujipendekeza. Na kutotekeleza majukumu kwa weledi. Professionalism. Ulificha mengi ya ukweli ili kumfurahisha mmoja.Huo mgao utatokana na matengenezo kwenye mitambo ambayo haikufanyiwa matengenezo kwa muda mrefu sababu wahusika waliogopa kutumbuliwa(maana wangehitajika kukata umeme kwa dharura ili kufanya matengenezo jambo ambalo kipindi kile lingewaletea matatizo)......
Huu ndio muda muafaka wa kufanya matengenezo lasivyo hata huo umeme wa mgao tunaweza kuukosa.
Wewe ni kiaziHuo mgao utatokana na matengenezo kwenye mitambo ambayo haikufanyiwa matengenezo kwa muda mrefu sababu wahusika waliogopa kutumbuliwa(maana wangehitajika kukata umeme kwa dharura ili kufanya matengenezo jambo ambalo kipindi kile lingewaletea matatizo)......
Huu ndio muda muafaka wa kufanya matengenezo lasivyo hata huo umeme wa mgao tunaweza kuukosa.
Umewahi kuishi nchi gani mbona kuna nchi zingine umeme haukatikiHuo mgao utatokana na matengenezo kwenye mitambo ambayo haikufanyiwa matengenezo kwa muda mrefu sababu wahusika waliogopa kutumbuliwa(maana wangehitajika kukata umeme kwa dharura ili kufanya matengenezo jambo ambalo kipindi kile lingewaletea matatizo)......
Huu ndio muda muafaka wa kufanya matengenezo lasivyo hata huo umeme wa mgao tunaweza kuukosa.
Kwa hiyo na wewe uliamini uongo huo, mitambo isifanyiwe mantainance kwa muda wa miaka mitano mfulululizo kweli?!Huo mgao utatokana na matengenezo kwenye mitambo ambayo haikufanyiwa matengenezo kwa muda mrefu sababu wahusika waliogopa kutumbuliwa(maana wangehitajika kukata umeme kwa dharura ili kufanya matengenezo jambo ambalo kipindi kile lingewaletea matatizo)......
Huu ndio muda muafaka wa kufanya matengenezo lasivyo hata huo umeme wa mgao tunaweza kuukosa.
Kuzimwa na kukatika kwa umeme kunapelekea kukosekana kwa umeme....kukatika inaweza isiwe kwa matakwa inaweza kuwa ni dharura ila kuzimwa ni kutekeleza mpango wa Tanesco chini ya usimamizi wa Waziri wa NishatiKuzimwa kwa umeme kunapelekea kukatika kwa umeme au hakupelekei kukatika kwa umeme?