January Makamba na 2020

Unachekesha wewe..Nchemba bora nihame Nchi..nchemba ni mtata sana
 

Mwigulu mimi mwenywe namkubali japokua sio mpenzi wa chama chake ila ana siasa za chuki sana Uwazi mkuu ndo unaweza kumfaa
 
Yaani Magufuli ampitishe January 2020?.... Hizi ni ndoto za Abunuasi.... January hawezi kuwa Rais wa nchi hii....
 
Team makamba mmeanza mapema mmnooo mtamchonganisha na
 
Una mwandiko mbaya?? Vipi kwani shule bado tu hamjafungua!!
 
Duh Sofia Simba na Dr Kaburu halafu umemtaja Makamba. Hakuna connection. hao wawili kwisha habari yao labda waje kustaafia Ukawa.
Makamba hafai tutazidi kurudia staili za enzi za nyuma lakini pia naona kama unatumika kumchafua huyo kijana.
Hahaa, hivi huyu kijana machachari Dr Kigwangala yupo wapi? Mbona Siku hizi simsikii kabisa?
 
Hivi kwa jinsi jamaa anavyojijengea combination yake kuanzia wakurugenzi jeshi la wananchi polisi mgambo mahakama wakuu wa mikoa na sekta mbalimbali unafikiri kuna mtu atamkwamisha 2020 na sasa hivi ndiyo top wa kila kitu bungeni kuna mkono wake kila sehemu hebu niambie makamba anachomoka vipi alishindwa Lowassa ambaye alijiimarisha ndani na nje ya chama ije kuwa huyo dogo acha utani
 
Hakuna kitu wote hao ni walewale hakuna wa kumuiga mwenzake.
 
Hamna kitu kichwani huyo,hatuwezi kuwa na prezdaa mnyoa UNGA
 
Makamba ana asili ya unafki, hatufai.....tunataka mtu kaliba ya ngosha, nyeusi inaitwa nyeusi.
Tunataka tutoke zama za kudanganywa na wanasiasa.
 

Magu atakuwa mgombea pekee!!! Kwa sababu amenyookaa
 
kula tano
 
Hawezi kusimama na JPM mwaka 2020 akikosa ataenda wapi?? Miaka 5 kupotea kuja kuibuka 2025 sio kazi ndogo!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…