johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,875
Waziri wa mazingira mh January Makamba ametembelea kampuni ya Bakhresa Group pale EPZ ubungo na kushuhudia uzalishaji wa mifuko mbadala na vifungashio.
Mh Makamba amewapongeza wafanyakazi wa Bakhresa na kuwataka waandae utaratibu wa kuzikusanya chupa zao za plastiki baada ya kutumika.
Source ITV habari
My take;
Kumbe kelele za akina Kibajaji hazipunguzi morali ya Uchapaji kazi!
Mh Makamba amewapongeza wafanyakazi wa Bakhresa na kuwataka waandae utaratibu wa kuzikusanya chupa zao za plastiki baada ya kutumika.
Source ITV habari
My take;
Kumbe kelele za akina Kibajaji hazipunguzi morali ya Uchapaji kazi!