January Makamba anasubiri kuingia Bungeni tu

January Makamba anasubiri kuingia Bungeni tu

ray jay

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2011
Posts
1,084
Reaction score
485
20151006125647.jpg 20151006125633.jpg 20151006125650.jpg 20151006125703.jpg

Mgombea Ubunge Jimbo la Bumbuli Ndugu January MAKAMBA alipozungumza na umati wa wakazi wa jimbo la bumbuli Mkoani TANGA. Kwa umati huo ni ishara tosha kua anasubiri tu kuingia bungeni kwani wapinzani wake hamna kitu.
 

Attachments

  • 20151006122625.jpg
    20151006122625.jpg
    71.7 KB · Views: 173
Hayo ni mawazo yako ndugu, subiri uchaguzi ufanyike ndo uandike haya, huwezi ukatuaminisha kitu unachokiamini nasisi tukiamini. Pole sana
 
Hayo ni mawazo yako ndugu, subiri uchaguzi ufanyike ndo uandike haya, huwezi ukatuaminisha kitu unachokiamini nasisi tukiamini. Pole sana

hahaha, ushindi ushapatikana, siasa ni sayansi mzee
 
Back
Top Bottom