PreGE2025 Janeth Ritte: Polisi wana njaa kama Sisi, tukiamua kushughulika nao watabaki salama? si kama unakanyaka Sisimizi tu!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake Janeth Ritte wa ACT Wazalendo

"Hivi kweli, polisi ambao wana njaa kama sisi, leo tukiamua kushughulika nao watabaki salama? Sisi Watanzania tukisema tumechoka, tunataka kufanya mabadiliko, tunaweza kufanya mabadiliko."

Pia, Soma: Janeth Rithe: Wanawake msimchague tena Rais Samia, haoni dira mbele yake

Your browser is not able to display this video.
 
Pamoja na Akina mama kuwazaa watesi wetu, ni akina mama hao hao huwazaa na wakombozi wetu!

Laiti kama wangekuwa na uchaguzi ila kwa bahati mbaya katika hilo nalo hujikuta hawana uchaguzi huru!

Pole sana Janeth Ritte, najua uchungu ulio nao.
 
Hii kauli naona ndiyo ilimvuta mafwele kwake ๐Ÿ˜„

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ