Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake Janeth Ritte wa ACT Wazalendo
"Hivi kweli, polisi ambao wana njaa kama sisi, leo tukiamua kushughulika nao watabaki salama? Sisi Watanzania tukisema tumechoka, tunataka kufanya mabadiliko, tunaweza kufanya mabadiliko."