JamiiForums tumerudi kwenye VPN?

JamiiForums tumerudi kwenye VPN?

Nime notice hilo pia, huu upuuzi wala hautukomoi ila ndio unazidi kuwapa watu ufahamu juu ya uwepo wa VPN na mwisho wa siku suala la kudhibiti mitandao ya kijamii linakuwa ni jambo lisilowezekana. Natamani watawala wangejitahidi tu kuendana na kasi ya ukuaji wa maarifa ya watanzania, maana naona kama akili zao zime kwama kwenye miaka ya 90 huko wanajaribu kuzuia vitu ambavyo havizuiliki tena
 
Nime notice hilo pia, huu upuuzi wala hautukomoi ila ndio unazidi kuwapa watu ufahamu juu ya uwepo wa VPN na mwisho wa siku suala la kudhibiti mitandao ya kijamii linakuwa ni jambo lisilowezekana. Natamani watawala wangejitahidi tu kuendana na kasi ya ukuaji wa maarifa ya watanzania, maana naona kama akili zao zime kwama kwenye miaka ya 90 huko wanajaribu kuzuia vitu ambavyo havizuiliki tena
Yeah, naona tumerudi hewani... Ime last kama 30minutes hivi
 
Watuachie jukwaa letu la Rickboy na Brita..
Nimejiuliza maswali mengi yasiyo na majibu....

1. Ukiachana na siasa JF, ni sehemu inayotupa maarifa mfano Mimi Nina majukwaa kama manne hivi, JF DOCTOR, BIASHARA,AJIRA na HOJA MCHANGANYIKO je, maarifa tunayoyapata humo ndio basi tena?🥲🥲🥲🥲🥲

Anyway, Asante JF kwa kuwa nawe since 2015, ngoja tukae pembeni tutafute maarifa pengine...

Thanks JF
 
Back
Top Bottom