Jamii forums wamebadili logo Yao

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
1,221
Reaction score
2,425


Je unatumia mtandao wa Jamii forums Tanzania!! , app ya jamii forums leo wamefanikiwa kufanya maboresho kwa kuweza kubadilisha logo Yao ambayo ilidumu kwa muda mrefu sana.



Mtandao wa jamii forums Tanzania ni jukwaa linalowakutanisha watu Mbalimbali na kuweza kupiga Soga, kupeana ushauri kujifunza mambo Mbalimbali kuhusu Nchi ya Tanzania na Dunia kwa ujumla kuanzia siasa, Elimu , afya, michezo , Teknolojia nk.



Mtandao huu Kwa mara ya kwanza ilikua tarehe 13 Mei, 2012 mpaka Sasa umepakuliwa na jumla ya watu milioni moja.

Umefanya update ya Jamii forums Tanzania!!

#jamiiforums #apps #bongotech255
 
Tunaoikubali logo iliyopita tulike hapa ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚
 
Kweli Leo nimeamini users wa Jamiiforums wanaipenda sana hii platform, maoni wanayotoa yanatoka moyoni kabisa .

Big up kwenu
 
Sifanyi update labda niwekewe kisu shingoni
Acha mambo ya qysayngay jamvini ebu faster mgeukie na kumtegemea kipenzi chetu cha dhati mwamba mkombozi wa waislamu Imam Hussain ibn Ali AS aliyeuwawa kikatili kuutetea, kuulinda na kuupigania uislamu dhidi ya dhulma, ukandamizaji, unyanyasaji na uonevu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ