Jamhuri ihakikishe Lissu anafikishwa mahakamani bila visingizio kama "gari haipo" au "hakimu ana dharura."

Jamhuri ihakikishe Lissu anafikishwa mahakamani bila visingizio kama "gari haipo" au "hakimu ana dharura."

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
28,749
Reaction score
91,814
Hamna Sarakasi yoyote isojulikana inayotumiwa kama sehem ya mbinu ya Jamhuri kuwaumiza Upinzani.

In fact CCM na Serikali yake mbinu zenu zoote zinajulikana .

KESI YA LISSU LAZIMA IANZE TAREHE 24 /4 /2025 Pasipo na kisingizio chochote Cha Kipuuzi.
 
Asipofikishwa utachukua hatua gani? Au utalalamika mtandaoni?
 
Na Lissu amesema yuko tayari hata kunyongwa ila No reforms no election iko pale pale.

Amegoma kulamba asali...
 
Back
Top Bottom