Hata kama inasemwa mtoto akililia wembe mpe, lakini bado inategemea mzazi na mzazi,uchungu alionao mzazi husika na kiwango cha ujinga alichonacho Lis....sorry mtoto.
Hata kama inasemwa mtoto akililia wembe mpe, lakini bado inategemea mzazi na mzazi,uchungu alionao mzazi husika na kiwango cha ujinga alichonacho Lis....sorry mtoto.
Amekuta yale aliyoyaandika kwa vitendo hayatatekelezeka;
ana akili sana.
Shivji sijui amekubali vp kununuliwa na ccm na kuwatosa watz.wakati alikuwa muhamasishaji mzuri sana wa vijana na wanaharakati kutokubali kununuliwa na ccm.siamini anabadilika siku hadi siku
Mzee Warioba aliwahi kusema kila mtu ananunulika ishu ni kujua bei tu, sikuamini mpaka niliposhuhudia Prof Shivj ametinga price tag, trust no one.
amekengeuka tena huyu mtaalam wa sheria
Mjadala alioendesha Shivji ulilipiwa na CCM,kabla ya mdajala alionekana akiwa katika kikao na viongozi wandamizi wa CCM,mkakati mpya wa CCM kuvuruga mbunge ndani ya wiki mbili zijazo ili Tanganyika huru isipatikane,wanaharakati tumejipanga kufanya mandamano ya kufunga jiji zima.
Hili ndilo tatizo la nchi yetu, eti kuna watanzania wenye asili ya Asia lakini hakuna watanzania wenye asili ya Burundi, Kenya au Msumbiji! Baada ya Tanganyika kurudi ndo tutakuwa na Watanzania wenye asili za Zanzibar!
Issa Shivji anatambulishwa kama mwanasheria nguli wa mambo ya katiba Mbona kwenye tume ya katiba hakuwekwa? Dah pia amesahaulika kwenye Bunge maalum la katiba.au walimjua ni bingwa wa kuchanganya habari???
Issa Shivji anatambulishwa kama mwanasheria nguli wa mambo ya katiba Mbona kwenye tume ya katiba hakuwekwa? Dah pia amesahaulika kwenye Bunge maalum la katiba.au walimjua ni bingwa wa kuchanganya habari???
Kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa mihadhara ya prof Shivji, huoni kama maelezo yake yana pishana na maandishi ya vitabu vyake vya nwanzo? Kama hujaelewa basi una matatizo?
Mkuu ngoja magabachori wenzie waje kukujibu wanatumia jf siku hizi