Wakuu,
Kuna mambo ambayo kabla ya kuoa/kuolewa huwa tunayafanya ambayo ni aibu na fedheha kusema mbele ya mkeo/mumeo ambapo madhara yake huwa ni eidha kuvunjika kwa ndoa au ugomvi usioisha.
Kwa upande wangu kabla sijaoa nilikuwa mpigaji wa nyeto sana,na nilinunua sabuni yenye povu jingi kwa ajiri ya kurahsisha upigaji nyeto huo
Kwa sasa shaacha. Na nawashauri vijana wenzangu msije kujaribu tukio hilo la aibu
Nishaapa sitawahi msimulia mke wangu.