spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,220
GreatThinkers,
Taarifa za uhakika kuhusiana na Jambazi lililouwawa mgodini Geita lilikuwa ni Raia la Tanzania na mkazi wa Maswa-Kwa hiyo ile Passport ya Rwanda ilikuwa ni Feki.
Jambazi lile liliwahi kufanya wizi kama Ule Mgodi wa Bulyanhulu na kufanikiwa huku likiaacha majonzi, watu kama tatu liliua.
Lilitafutwa likapatikana (wafanyakazi wa Buly) walilizomea huku likiwa na pingu-Polisi walilichukua ila haijulikani ni mazingira gani yalimuweka huru tena
Ndg wa Jambazi mwisho wa wiki walienda Geita kuuchukua mwili wa Marehemu na wamepewa kwenda kumzika kamanda.
Maelezo ya mashuhuda yanadai-Ndg zake(waliofika wote wanawake) wamekiri kuwa amewahi pia kushiriki wizi wa Benki hapa Jijini Dar Es Salaam.
I present
Taarifa za uhakika kuhusiana na Jambazi lililouwawa mgodini Geita lilikuwa ni Raia la Tanzania na mkazi wa Maswa-Kwa hiyo ile Passport ya Rwanda ilikuwa ni Feki.
Jambazi lile liliwahi kufanya wizi kama Ule Mgodi wa Bulyanhulu na kufanikiwa huku likiaacha majonzi, watu kama tatu liliua.
Lilitafutwa likapatikana (wafanyakazi wa Buly) walilizomea huku likiwa na pingu-Polisi walilichukua ila haijulikani ni mazingira gani yalimuweka huru tena
Ndg wa Jambazi mwisho wa wiki walienda Geita kuuchukua mwili wa Marehemu na wamepewa kwenda kumzika kamanda.
Maelezo ya mashuhuda yanadai-Ndg zake(waliofika wote wanawake) wamekiri kuwa amewahi pia kushiriki wizi wa Benki hapa Jijini Dar Es Salaam.
I present