Jamani, wana CHADEMA tuchangamkie wenzetu walioujua ukweli wa siasa

NIMEKIMBIA CCM

Senior Member
Oct 4, 2011
193
26
Heshma magreat thnker,leo mchana nkiwa chuon kulitokea mjadala mkubwa sana kuhusu vyama vya siasa,ashukuriwe mungu nilitangaza sera za chadema na nkafanikiwa kushawish vjana karbu wote kuwa washabiki na wapiga kura wa chadma 2o15,zuri zaid n kwamba walihtaji namba ya kuchangia chama yan m-pesa nk.hvo mwenye namba hyo anisaidie,
MAPAMBANO YANAENDELEA,pia nimepatwa na furaha kwa ujasiri wa Lema kwani naamin ataenda kutangaza sera zetu na kuangalia wangap wamefugwa bla hatia,alaaniwe m2 yule anaeikejel chadema
MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU IBARIKI CHADEMA
 
chadema full kujitafutia cheap popularity. mkiendelea hivi mnaweza kufika mbali. ila mpunguze yale majani kidogo
 
yaani wewe ni jinga kweli embu tueleze hiyo"expensive popularity ikoje"

Unajuwa huyo jamaa hajakosea, ni kweli sisi Chadema hatujazoea na wala si tabia yetu kutafuta kujulikana kwa njia ya kuhonga kwa pesa na mali kama wenzetu wanakijani a.k.a mafisadi+ magamba walivyozoea... Chadema tupo makini ole mbaya....big up Godfrey Lema..big ...Chadema...we all support him 100%...
 
Heshma magreat thnker,leo mchana nkiwa chuon kulitokea mjadala mkubwa sana kuhusu vyama vya siasa,ashukuriwe mungu nilitangaza sera za chadema na nkafanikiwa kushawish vjana karbu wote kuwa washabiki na wapiga kura wa chadma 2o15,zuri zaid n kwamba walihtaji namba ya kuchangia chama yan m-pesa nk.hvo mwenye namba hyo anisaidie,
MAPAMBANO YANAENDELEA,pia nimepatwa na furaha kwa ujasiri wa Lema kwani naamin ataenda kutangaza sera zetu na kuangalia wangap wamefugwa bla hatia,alaaniwe m2 yule anaeikejel chadema
MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU IBARIKI CHADEMA
nyie madogo someni hizo ni hasira na njaa za kukosa mikopo! Mie nafurah msome kwa shida ili mkimaliza muwe na akili ya maisha na uchungu na nchi ilivyoporwa tena ebu shindia mihogo na kachumbali make nami nimekula nilipokuwa chuo, wakati ule nilikuwa nakaa pale Kijitonyama Hostel enzi hizo.
 
Unajuwa huyo jamaa hajakosea, ni kweli sisi Chadema hatujazoea na wala si tabia yetu kutafuta kujulikana kwa njia ya kuhonga kwa pesa na mali kama wenzetu wanakijani a.k.a mafisadi+ magamba walivyozoea... Chadema tupo makini ole mbaya....big up Godfrey Lema..big ...Chadema...we all support him 100%...

cdm hakuna kitu, chama cha ndg, kanda na cha wanafiki. Kitaanguka mda si mrefu 2kivutie sharubu kidogo, yupo wapi Mrema aliyependa na wake za watu. Bora mie sio shabiki wa chama chochote make wengine wale mie niachie mdomo bure kwa kelele! Ng'o.
 
Back
Top Bottom