NIMEKIMBIA CCM
Senior Member
- Oct 4, 2011
- 193
- 26
Heshma magreat thnker,leo mchana nkiwa chuon kulitokea mjadala mkubwa sana kuhusu vyama vya siasa,ashukuriwe mungu nilitangaza sera za chadema na nkafanikiwa kushawish vjana karbu wote kuwa washabiki na wapiga kura wa chadma 2o15,zuri zaid n kwamba walihtaji namba ya kuchangia chama yan m-pesa nk.hvo mwenye namba hyo anisaidie,
MAPAMBANO YANAENDELEA,pia nimepatwa na furaha kwa ujasiri wa Lema kwani naamin ataenda kutangaza sera zetu na kuangalia wangap wamefugwa bla hatia,alaaniwe m2 yule anaeikejel chadema
MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU IBARIKI CHADEMA
MAPAMBANO YANAENDELEA,pia nimepatwa na furaha kwa ujasiri wa Lema kwani naamin ataenda kutangaza sera zetu na kuangalia wangap wamefugwa bla hatia,alaaniwe m2 yule anaeikejel chadema
MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU IBARIKI CHADEMA