Jamani usaili wa afisa utafiti

Jamani usaili wa afisa utafiti

DANY1

Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
12
Reaction score
1
Naombeni ushauri kwa wenye uzoefu, nimeitwa kwenye usaili wa mahojiano kwa nafasi ya afisa utafiti mifugo, msaada na ushauri jinsi ya kujiandaa
 
Uwe na confidence, vaa mavazi yaliyosafi na decent..Epuka kulakula hovyo, tabasamu usoni, Beba document zako zote muhimu... Ukipata kazi njoo unishukuru
 
Asante sana prince, nitafanya kama ulivyo nambia, na nikipata kazi ntakuja kukushukuru,thank
 
Back
Top Bottom