mnatumia printer zipi kuprint mabango makubwa kama ya barabarani na ni shingapi printer hizo je naweza pata hapa Tanzania na pia mnatengeneza na kuprint kwa tshs ngapi? na paper hizo zinaitwaje na Zinapatikana wapi
mnatumia printer zipi kuprint mabango makubwa kama ya barabarani na ni shingapi printer hizo je naweza pata hapa Tanzania na pia mnatengeneza na kuprint kwa tshs ngapi? na paper hizo zinaitwaje na Zinapatikana wapi
Kwa uzoefu wangu Mashine zinaanzia kwenye milioni 10+,20 na kuendelea kutokana na size na uwezo,hapa Tanzania unaweza kupata second hand,mpya sidhani labda uagize nje china ndo rahisi zaidi
Kwa uzoefu wangu Mashine zinaanzia kwenye milioni 10+,20 na kuendelea kutokana na size na uwezo,hapa Tanzania unaweza kupata second hand,mpya sidhani labda uagize nje china ndo rahisi zaidi
mnatumia printer zipi kuprint mabango makubwa kama ya barabarani na ni shingapi printer hizo je naweza pata hapa Tanzania na pia mnatengeneza na kuprint kwa tshs ngapi? na paper hizo zinaitwaje na Zinapatikana wapi