Km ww ni rijali Kua na sifa ya kiume, na uwe mw'me halisi, mapenz c fedha wala kinga ya mepnz kwn hata asingekua mpz wako shida yake angempa nani, what if km akikosa na anaihitaj kw wakat husika it means mapenz ndo yakua mwisho kwa kua tu we ndo 7b ya yeye kufeli tatizo lake ! Usiwe mtumwa wa kifikra ktk mapenz cha msingi ni kua wazi ktk mahusiano, yawezekana ikawa km ni mtego kwako ili aone ni vp uta play ur part 2ur real love, make sure ur going to be a real man wen u face a such problem lk dat.