Jamani nna hamuuuu

Yaani we acha tu!
Ungekuwa specific ili upate msaada......... hamu zina majina tofauti tofauti kutegemeana ni hamu ya nini........... Kwa mfano... Hamu ya kula inaitwa njaa, hamu ya maji inaitwa kiu, hamu ya kubanjua/kubanjuliwa inaitwa nye.... ,
 
hamu ya nini tena ya kushikwa ch..u..chu au? Tuweke wazi basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…