:lying:ahhhhhh acha uchowo wewe km unataka kumsaidia mawazo asi umsaidie tu sa cha kujitia waDADA tu ndoo wameombwa kitu gani?
ebu acha ujembe uo km una fruitful advice pls gve t 2ha!!
pole safina jaman
unaniogopesha mwenzangu ata kuolewa kwenyew km ndo uko!!!
mi staki kabisa dah bora ata mngekuwa bfrend na galfrend mbona ungemtimua ........dahh no muhogo wa jangombe miezi 8 ...sa unakaa nae wanini ? pamb?
dai dudu bib weeeeeeeeee !!!!!!!!km vp nenda KWA MSHENGA !!!!!!!!
pole dadangu!!!!!!!!!!!!
ndoa makorokocho eenhhhhhh ???????:crying
h mamamaria nsaidie mimi .....roho wa mungu nipe busara na hekima mume atakayenijia awe mpya na mtamu kwa kunijaalia yote nitakayoyataka kwake :amen:
POLE DADA!!!!!!!!!!!